NAULI ZA SAFARI ZA NDEGE MPYA ZA TANZANIA

Baada ya Rais John Pombe Magufuli kuzindua ndege mbili mpya zitakazotumiwa na Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwezi uliopita, shirika hilo limeatangaza rasmi maeneo ya safari za ndege hizo ikiwa na pamoja na nauli.
Kupitia ukurasa wa Twitter wa shirika hilo waliandika kuwa nauli ya safari ya ndege kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni shilingi laki moja na sitini (160,000) ambapo nauli ya kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni bei hiyo hiyo, laki moja na sitini (160,000).

About Admin

0 comments:

Post a Comment